outlook bado inafanya kazi na kuna wananchi nimewaona wanatumia japo ukimuuliza mtu anajifanya yangu ilisahauliwa kuwa disconnected (but hakuna wote tulipigwa panga),mlolongo wa kumpata huyo IT...Doooh! Ila thanks my pipo itabidi niwe mpole
Hiyo ofisi kiboko yaani mnadanganyana wenyewe kwa wenyewe!?