B babacollins JF-Expert Member Dec 23, 2010 901 212 Nov 14, 2012 #21 muwaha said: Mkuu be careful...uzuri siyo sura! chagua mwenye midomo midogo maana wenye midomo mikubwa huwa na mashine kubwa sana. Click to expand... Yaani uzuri ni jinsi unavyouelewa wengine hizo mashine kubwa ndo uzuri wenyewe usisahau hata hiyo midomo mikubwa ina kazi yake mkuu..
muwaha said: Mkuu be careful...uzuri siyo sura! chagua mwenye midomo midogo maana wenye midomo mikubwa huwa na mashine kubwa sana. Click to expand... Yaani uzuri ni jinsi unavyouelewa wengine hizo mashine kubwa ndo uzuri wenyewe usisahau hata hiyo midomo mikubwa ina kazi yake mkuu..
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,404 Nov 15, 2012 #22 1. wa kwanza kushoto --->>>>> huyu safiiiiiiiiiii 2. wa kwanza kulia 3. wa pili kushoto 4. wa pili kkulia
1. wa kwanza kushoto --->>>>> huyu safiiiiiiiiiii 2. wa kwanza kulia 3. wa pili kushoto 4. wa pili kkulia
K Kifuna JF-Expert Member Aug 7, 2008 442 118 Nov 15, 2012 #23 Naomba kujua wanakuwaje sura zao wakilia au wakicheka hebu weka picha hizo kisha tukupe jibu
Mandown JF-Expert Member Apr 8, 2012 1,665 504 Nov 15, 2012 #24 ili nikuchagulie, niletee picha zao wakiwa msibani na wamelia wakaiva !
kashesho JF-Expert Member Oct 19, 2012 4,976 2,465 Nov 15, 2012 #25 nichukue mimi mwenye shanga kichwani
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Nov 15, 2012 #26 Wa kwanza kushoto ili ufaidi kurembuliwa macho. Wa pili kushoto ili uufaidi mwili utakapokumbatia!