Msaada wa kuboot Samsung N50 netbook kupita usb flash disc

Msaada wa kuboot Samsung N50 netbook kupita usb flash disc

Nyikanavome

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
487
Reaction score
181
Kuna kilaptop changu kidogo cha samsung nataka kukiwekea window 8.1 lakini nimejaribu kuboot kupitia usb flash disk hakikubali. Nikijaribu install direct inaniambia we could not update the system reserved partition

Nimeribu kuseti booting priority nimeshindwa kwani menu inayokuja baada ya ubonyeza F2 wakati inawaka nimeshindwa kuiset ikubali.

Naombeni kwa anayejua namna ya kianya iboot kupitia usb anafifamishe

Natanguliza shukrani
 
je hiyo flash umeiweka bootable kikamilifu yaani hakuna error yoyote na je hiyo notbook yako ina minimum requirements za win 8.1? naje ukipress f10 au 12 inagoma kubook from flash..
 
Hiyo flash inafanya kazi kwani nimeshaitumia kwenye desk top ikakubali. Hicho kinet book sasa hivi kina window 8. nitajaribu kupress f10 au 12 nione kama itakubali

je hiyo flash umeiweka bootable kikamilifu yaani hakuna error yoyote na je hiyo notbook yako ina minimum requirements za win 8.1? naje ukipress f10 au 12 inagoma kubook from flash..
 
Kuna kilaptop changu kidogo cha samsung nataka kukiwekea window 8.1 lakini nimejaribu kuboot kupitia usb flash disk hakikubali. Nikijaribu install direct inaniambia we could not update the system reserved partition

Nimeribu kuseti booting priority nimeshindwa kwani menu inayokuja baada ya ubonyeza F2 wakati inawaka nimeshindwa kuiset ikubali.

Naombeni kwa anayejua namna ya kianya iboot kupitia usb anafifamishe

Natanguliza shukrani




Aisee I dont remember poa .. Ila kama unacheza sana na PCs utanielewa ..Boot up laptop yako , Press sikumbuk kama ni F2 , F10 or F12 ila iende Bios options ... From there tafuta Option Iliyoandikwa USB legancy support and enable it ( Sikumbuki iko ap kwa model N50 .. Ila I'm sure it is supposed to be there ) .. Save and Exit .. Chomeka flash yako go to boot options utaiona flash yako then from there nafikir utaweza fanya ulilokua unataka ..

You may press thanx if I helped .. 🙂
 
Back
Top Bottom