Msaada wa ku unlock network ya tecno R6

Msaada wa ku unlock network ya tecno R6

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,686
Reaction score
1,758
Habari..

Nina tecno R6 ambayo imekuwa network locked Na tigo..

Naomba msaada, hata wa kulipia niweze ku network unlock.

Kwa sasa nipo Iringa!
 
hyo ni firmware ambayo iko Unlocked so unachotakiwa kufanya ni kudownload and flashing kwa kutumia Sp flash tool na cmu yako itakuwa Unlocked. Ni password protected so una option ya kulipa ili kupata rar pass au crack the pass. 0717458447
 
hyo ni firmware ambayo iko Unlocked so unachotakiwa kufanya ni kudownload and flashing kwa kutumia Sp flash tool na cmu yako itakuwa Unlocked. Ni password protected so una option ya kulipa ili kupata rar pass au crack the pass. 0717458447
Mkuu na mie nina tatizo kama hilo ila yangu imetokea SA,inataka sim network code.

Ni Kyocera C6742A
 
hyo ni firmware ambayo iko Unlocked so unachotakiwa kufanya ni kudownload and flashing kwa kutumia Sp flash tool na cmu yako itakuwa Unlocked. Ni password protected so una option ya kulipa ili kupata rar pass au crack the pass. 0717458447
Shukrani Mkuu... Lakini vipi kama nalipia halafu file linaleta shida?
 
Back
Top Bottom