Tembelea dc unlocker website bei ya ku Unlock ni around 8$habari zenu waheshimiwa. nilikua naomba msaada wa ku unlock modem ya kampuni ya ZTE k3772-z. inatumia laini ya vodacom peke yake
kama unaiuza nishtue natafuta kama hiyohabari zenu waheshimiwa. nilikua naomba msaada wa ku unlock modem ya kampuni ya ZTE k3772-z. inatumia laini ya vodacom peke yake
Angalia model ilotajwa kwenye thread hii na hiyo Link ulowekaAsalaam.
Nadhani tunarejea mjadala huu,
Vodafone K-3565-Z bila Connection Manager inawezekana.
labda tufahamishane tunakwama wapi ili tusirudie kilekile.
Vile tumejadili mjadala huu,
Vodafone K-3565-Z IMEWEZESHWA SIMCARD ZOTE
hii kidogo ni technical
Wasalaam.
This is completely a new modem watu mm nakwambia hivo sababu niliwai nunua hiyo modem nkijiaminisha itatoka Lock kwa kubadilisha Connection manager au ku connect kupitia network adapters...Unachokisema watu walishajaribu na hicho kitu hakiwezekani hiyo modem imewekewa security nyingine!Asalaam ...
Haijalishi ni number ipi .... kizuizi kiko kwenye vodacom connection manager.
Si kila solution ni dc unlocker.
As a great thinker there is an alternative .....
Modem nyingi za vodacom hazina zuio la kubadili simcard. Kinachoonekana ni ujumbe kutoka connection manager kutokuwa na taarifa za mitandao mingine..
Jaribu hii simple trick...
Modem manufacture and model type does not matter!!!
Wasalaam...
hiyo modem ni kiboko nimecheza nayo sana nikakwama.. ila suluhu ni ku-unlock kwa dc unlock.. download dc unlock kuna sehemu ya ku-select model ya modem hiyo itatokea watakuambia na kiasi ni kwa njia ya online.. kwa hizi software zetu haufui dafu..Habari zenu waheshimiwa, nilikua naomba msaada wa ku-unlock modem ya kampuni ya ZTE k3772-z. Inatumia laini ya vodacom peke yake.