Hakuna uwezekano huo mkuu maana kariako wamesha kuwa wajanja yaani wana futa kila kitu mpaka IMEI hivyo huwezi ipata kirahisi na kwa sasa wakiziiba hawa tumii mpaka wazibadilishe , yaani bongo ukiziba mlango wa kutokea wao wanatoboa ukuta , kumbe kama unasimu yako baszi jihadhari kuilinda vyema