Yusuph Wernery
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 316
- 147
Plz msaada mwenye maelekezo namna ya kufanya formating ya smartphone nimesahau patterns
Unatumia sim ya aina ganiiPlz msaada mwenye maelekezo namna ya kufanya formating ya smartphone nimesahau patterns
zime bonyeza volume up na power ikiwaka ikatokea logo ya tecno achilia power huku ukiendelea ku shikilia voule up. ikiwa kwenye recovery menu shuka hadi wipe data kwa kutumia volume keys na una bonyeza power kuchagua operationTecno lite w5