ID na uhalisia wa mtu mwenyewe ni vitu viwili tofauti kabisa. By the way some things vinahitaji ujuzi kama huelewi its better ukatulia kupisha wajuzi waje wajibu.
Naamanisha kwamba kuna njia mbalimbali zinazitumika mashuleni hata kitaifa kupanga matokeo baada ya kuwatahini wanafunzi. Njia hii hufanyika kwa kutumia program ya spreadsheet hususani Excel.
Sasa shida yangu nipate muongozo wa upangaji (template) ili nitumie nami kupanga matokeo hayo.