1- Je, mkataba wako wa awali ulio andika (iringa) unayo nakala na ulikuwa wa miaka mingapi?
2- Je, hiyo document uliyopewa na ukajaza (Dar) haikuwa na maelekezo yeyote zaidi ya personal details?
3- Je, kabla ya kujaza hiyo form mpya, kuna taarifa zozote ulipewa za mabadiliko ya personal details ama contract?