Mimi ni kijana wa miaka 23 katika maisha yangu nilitaman kuwa IT sku moja ila kutokana na familia nkaambulia ualimu wa msingi sasa nauliza naweza soma hicho kitu maana nilipata four 26 mwaka 2010 na nina D 7 na C 2 chemistry na English. Math,phis , na mengine yote D nisaidien jaman 3 ( IT kwenye Education)