Msaada wa kazi rasmi au isiyo rasmi

Msaada wa kazi rasmi au isiyo rasmi

Shekuna

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
688
Reaction score
549
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25, Ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam miaka miwili iliyopita, Bachelor Degree in Political Science and Public Administration, Nina ujuzi Mkubwa wa kusimamia miradi ya Maendeleo nikiwa na uzoefu wa Afisa Rasilimali watu Wilaya,Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi ngazi ya Kata .

Lakini pia nina ujuzi katika research kwenye data collection, data analysis kutumia excel, presentation, Leadership, Report writing Na nina uwezo mzuri wa kutumia lugha ya kiingereza.

Natafuta kazi iwe rasmi au isiyo rasmi kwa mtu binafsi au kwenye taasisi yoyote ya umma au business sector naweza kufanya Kama sales person,customer, HR, Administrator, etc.Pia naweza kusimamia biashara yoyote halali

Nahitaji msaada wenu ndugu zangu Kwa yeyote mwenye kazi au connection yoyote itakayo niwezesha kufikia lengo langu nitashukuru sana.

Nipo Dar lakini naweza kusafiri mahali popote nafasi itakapo patikana.
 
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25, Ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam miaka miwili iliyopita, Bachelor Degree in Political Science and Public Administration, Nina ujuzi Mkubwa wa kusimamia miradi ya Maendeleo nikiwa na uzoefu wa Afisa Rasilimali watu Wilaya,Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi ngazi ya Kata .

Lakini pia nina ujuzi katika research kwenye data collection, data analysis kutumia excel, presentation, Leadership, Report writing Na nina uwezo mzuri wa kutumia lugha ya kiingereza.

Natafuta kazi iwe rasmi au isiyo rasmi kwa mtu binafsi au kwenye taasisi yoyote ya umma au business sector naweza kufanya Kama sales person,customer, HR, Administrator, etc.Pia naweza kusimamia biashara yoyote halali

Nahitaji msaada wenu ndugu zangu Kwa yeyote mwenye kazi au connection yoyote itakayo niwezesha kufikia lengo langu nitashukuru sana.

Nipo Dar lakini naweza kusafiri mahali popote nafasi itakapo patikana.
 
kwanini mkuu
Kwa sabb huwez kujua ni nani aliyekuuliza swali hili na ana malengo gan mf labda ungejibu ndy nilishiriki huenda angejua huyu n mwenzangu ukisema hukushiriki anajua huyu si mwenzangu cpaswi kumpa msaada, hivyo hivyo kupitia hayo majib mtu wa msaada wa upande wa pili ataona huyu n mwenzetu au si mwenzetu. Labda ingekuwa interview sehem ya gvt inatakiwa ujibu kwa kubase upande wa haki zaid ya 88%, huku zinazobak unaegemea upande wa green. Bt kama n private area base 100% upande wa hak na wajibu wako.
So kupitia jib ulilojib huenda kuna mtu alitaka akusaidie but ameghahiri au umefanya umefanya mtu mwingne afikirie kukusaidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom