Msaada wa Kazi Nisaidieni Jamani.

Msaada wa Kazi Nisaidieni Jamani.

FrankJ

Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
14
Reaction score
3
Habari za Kazi ndugu zanguni. Mimi ni Kijana mwenye miaka 20, ninajitegemea na ni mwaminifu sana pia nina wadhamini. Natafuta kazi yeyote ile ambayo ipo au niseme imebakia kokote hapa Dar-Es-Salaam. Ninaweza kubeba mizigo au kazi yeyote ile ambayo wewe kama muajiri yangu utaona inanifaa sichagui kazi. Nipo tayari kufanya hata kama ni kibarua cha muda mfupi. Nimesha fanya kazi mbalimbali kama kibarua kwenye sites za ujenzi, kusambaza bidhaa mbalimbali kwenye majumba n.k Namba yangu ya simu ni 0719565358. Ninakaa Tegeta ila nipo tayari kufanya kazi hata kama ni Chalinze. Ntashukuru kama mtanisaidia na nnamuahidi yeyote atakayeniajiri kwamba nitafanya kazi kwa bidii na kamwe hatojutia maamuzi yake. Mnitafute kupitia 0719565358 / 0763617517.

Ahsanteni
 
Wewe hapo juu ulishapata? kuna kinafasi cha umesenja kimetokea hapa ofisini, Mshahara laki 3 kabla ya makato yoyote (Pension, Kodi, Bima ya Afya). Nikupigie pande..........????????
 
Wewe hapo juu ulishapata? kuna kinafasi cha umesenja kimetokea hapa ofisini, Mshahara laki 3 kabla ya makato yoyote (Pension, Kodi, Bima ya Afya). Nikupigie pande..........????????

safi sana kaka kwa msaada wako. Kijana nafasi ndo hiyo comfirm fasta ili mdau akusaidie.
 
Nyi hapo juu si muanzishe thread zenu .. Hii bahati ni ya mwenzenu

mie nlijua wanatafuta mfanyakazi yaani wanampa namba mleta mada kumbe wanamzibia ridhiki?
 
Back
Top Bottom