Msaada wa jinsi ya ku flash simu kwenye PC

Msaada wa jinsi ya ku flash simu kwenye PC

mwita burure

Senior Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
192
Reaction score
39
Ndungu wana jf habari za wakati nina sm ina matatizo kidogo nilikuwa naomba kuna uwezekano kuiflash kwenye pc yangu mnielekeze niiflash au lazima niende kwa fundi aniflashie msaaada tafadhari
 
Ndungu wana jf habari za wakati nina sm ina matatizo kidogo nilikuwa naomba kuna uwezekano kuiflash kwenye pc yangu mnielekeze niiflash au lazima niende kwa fundi anifurashie msaaada tafadhari
Sasa sisi tutajuaje aina ya simu yako? Na ina tatizo gani had utake kuflash
 
kama unataka kuifurashi mwenyewe poa ila kama unataka kui-flash basi mpelekee fundi
 
Kama unataka kuwa fundi xema au unataka uiflash cm yako tu?
 
Back
Top Bottom