mimi pia nakuja huko next week natokea mombasa,nataka nije kutupa karata yangu huko .tumeorganize na crew yangu tunakodi basi,project yetu ya miez mitatu
mimi pia nakuja huko next week natokea mombasa,nataka nije kutupa karata yangu huko .tumeorganize na crew yangu tunakodi basi,project yetu ya miez mitatu
Loh! aliesema pombe ni haramu hakukosea, sasa inakuwa aibu mtu kuaga jamaa na marafiki unakwenda rombo, au ukisafiri unaogopa kusema nimetoka rombo? Warombo waamke bana maana mabasi yataanza kusafiri usiku na abiria watavaa ninja.
Loh! aliesema pombe ni haramu hakukosea, sasa inakuwa aibu mtu kuaga jamaa na marafiki unakwenda rombo, au ukisafiri unaogopa kusema nimetoka rombo? Warombo waamke bana maana mabasi yataanza kusafiri usiku na abiria watavaa ninja.