Msaada wa haya maneno

Msaada wa haya maneno

Rick mill

Member
Joined
Oct 15, 2014
Posts
29
Reaction score
1
1. Jamani naomba tofauti ya neno dondoka na anguka
2. Pia naomba tofauti ya neno lala na sinzia
 
1. Jamani naomba tofauti ya neno dondoka na anguka
2. Pia naomba tofauti ya neno lala na sinzia

"DONDOKA" NI KWENDA CHINI KUTOKA JUU (HASA KUPITIA KWENYE ANGA),

"ANGUKA" NI KWENDA CHINI KWA KITU AMBACHO KILISIMAMA (HASA WIMa).

"LALA" NI KUWA KATIKA USINGIZI KABISA.
"SINZIA" NI KUELEKEA USINGIZI ILA UKIWA NA HALI YA KUSHITUKASHITUKA(SIO USINGIZI KAMILI).
 
"DONDOKA" NI KWENDA CHINI KUTOKA JUU (HASA KUPITIA KWENYE ANGA),

"ANGUKA" NI KWENDA CHINI KWA KITU AMBACHO KILISIMAMA (HASA WIMa).

"LALA" NI KUWA KATIKA USINGIZI KABISA.
"SINZIA" NI KUELEKEA USINGIZI ILA UKIWA NA HALI YA KUSHITUKASHITUKA(SIO USINGIZI KAMILI).

asante ndugu,
vp mtu akilala chini bila kusinzia je huko, si kulala?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom