Kuna mtu aliapply mwaka jana
akapata chuo lakn kwa kuw ni
inservice hakupata ruhusa.
Mwaka huu ameenda kuchukua
barua akaiambatanisha na
maombi ya kufanya udahili upya
lakn mpaka saiv akichek profile
ameandkiwa kuw ni
mwanafunz wa koz fulan chuo
fulan kama mwaka jana.
Afanyaje ukzngatia na za
helpdesk azpatkan?