Msaada wa haraka tafadhali kwenye PC yangu.

Msaada wa haraka tafadhali kwenye PC yangu.

mazaga one

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
2,603
Reaction score
4,184
Ninatumia window 8.1 lakini PC yangu inashindwa kusoma media transfer nikichomeka USB ilhali vitu vyote vingine ina respond kama vile kucharge,camera lakini nikibonyeza sehemu ya media transfer inapotea na haionekani kwenye PC.Msaada wataalum.
 
peleka kwa fundi, au subir viwanda vifunguliwe tz
 
nilikuwa na tatizo hilo pia, hadi nikarudi kutumia windows 7
 
Nimezunguka ktk zaidi ya pc kumi zote hazijawah soma usb flash hata cjuh tatizo n nn..... Cjuh ni usb wire au ni simu au ni haya madilisha ( window)
 
Ninatumia window 8.1 lakini PC yangu inashindwa kusoma media transfer nikichomeka USB ilhali vitu vyote vingine ina respond kama vile kucharge,camera lakini nikibonyeza sehemu ya media transfer inapotea na haionekani kwenye PC.Msaada wataalum.
Hilo ni tatizo la USB Drivers mkuu, hasa hasa MTP Drivers, je ulikwisha install drivers zote?
 
Ninatumia window 8.1 lakini PC yangu inashindwa kusoma media transfer nikichomeka USB ilhali vitu vyote vingine ina respond kama vile kucharge,camera lakini nikibonyeza sehemu ya media transfer inapotea na haionekani kwenye PC.Msaada wataalum.
wakati umechomeka simu yako kwenye pc toa password kwenye simu..itaonesha.
 
Cheki usb cable unayotumia other data cable not support all device like blackberry data cable
 
update driver za pc yako software ya ku update inaitwa slim diver au max drive utaona wazungu kirahisi at
 
Back
Top Bottom