Msaada wa haraka, NACTE wamenichanganya akili

Msaada wa haraka, NACTE wamenichanganya akili

minagirl

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
269
Reaction score
35
Ndugu zangu poleni na majumkumu, nipo namfanyia mdogo wangu application ya NACTE (certificate), nimezowea kupitia vyuo kadhaa kabla ya kusave CHOICE, naangalia slot na fee ya chuo nakuwa nanote kwenye karatasi baadae natulia na kufanya CHOICE, muujiza ulionitokea jana usiku, wakati nikiendelea kupitiapitia chuo ghafla mtandao ukakata, nilipojarifu kuanza upya nikakuta tayari dogo kajaziwa 3 CHOICES kati ya vile vyuo nilivyokuwa napitia pitia, kiukweli sikusave CHOICES na vyuo alivyojaziwa si mimi wala yeye hakuna anaevitaka, kibaya zaidi course aliyojaziwa kama first choise haitaki kabisa. Nikapata wazo la kuchange choices hicho kipengele hakipo, kipengele cha kufuta choices nacho hakipo, nimejaribu kupiga cm za NACTE zilizoandikwa chini zote hazipatikani, nisaidieni waungwana maana mimi na mdogo wangu wote tumechanganyikiwa, nitawezaje kufuta hizo choices na kuadd tunazozitaka sisi?
 
May be profile imekuwa hacked, nenda ofisi zao kwa msaada, kama ni wa mkoani endelea tu kuwapigia simu
 
n
May be profile imekuwa hacked, nenda ofisi zao kwa msaada, kama ni wa mkoani endelea tu kuwapigia simu
aendelea ndugu yangu lakini siwapati, na naendelea kupitia profili kila wakati hakuna mabadiliko.
 
piga simu wasipo pokea piga simu wasipo pokea we piga simu Mimi ilinichukua wiki nzima napiga simu yani nime piga weeeeeeeeee yan wiki ikakatika NDE! sasa ikajakupokelewa akapokea Dada mmoja akawa anaongea kama ana njaa ama usingizi niliumia sana na wewe piga tuuuuuuu
 
Ndugu zangu poleni na majumkumu, nipo namfanyia mdogo wangu application ya NACTE (certificate), nimezowea kupitia vyuo kadhaa kabla ya kusave CHOICE, naangalia slot na fee ya chuo nakuwa nanote kwenye karatasi baadae natulia na kufanya CHOICE, muujiza ulionitokea jana usiku, wakati nikiendelea kupitiapitia chuo ghafla mtandao ukakata, nilipojarifu kuanza upya nikakuta tayari dogo kajaziwa 3 CHOICES kati ya vile vyuo nilivyokuwa napitia pitia, kiukweli sikusave CHOICES na vyuo alivyojaziwa si mimi wala yeye hakuna anaevitaka, kibaya zaidi course aliyojaziwa kama first choise haitaki kabisa. Nikapata wazo la kuchange choices hicho kipengele hakipo, kipengele cha kufuta choices nacho hakipo, nimejaribu kupiga cm za NACTE zilizoandikwa chini zote hazipatikani, nisaidieni waungwana maana mimi na mdogo wangu wote tumechanganyikiwa, nitawezaje kufuta hizo choices na kuadd tunazozitaka sisi?
Ingia profile then angalia juu kuna home profile nk click profile then itajifungua kisha shuka chini utaona secondary education change category n.k click change category hapo utafaata maelekezo kwa kuchagua first periority mbaka mwisho na utakuwa tayari umedilete vyuo
 
nipe detail zako nikusaidie inaonekana hujui mambo ya kuapply
 
piga simu wasipo pokea piga simu wasipo pokea we piga simu Mimi ilinichukua wiki nzima napiga simu yani nime piga weeeeeeeeee yan wiki ikakatika NDE! sasa ikajakupokelewa akapokea Dada mmoja akawa anaongea kama ana njaa ama usingizi niliumia sana na wewe piga tuuuuuuu
Pole Mkuu hao hata ukienda ofisin huwa wanajibu vivyo hivyo,ila usikate tamaa tu
 
Labda Mungu kamchagulia Kozi. Awe mpole tuu akasome.
 
Wala usipate tabu, nenda my profile, then chini click change category then follow the steps. Weka category ambayo ulitaka ww then endelea na application as usual.
 
Ndugu zangu poleni na majumkumu, nipo namfanyia mdogo wangu application ya NACTE (certificate), nimezowea kupitia vyuo kadhaa kabla ya kusave CHOICE, naangalia slot na fee ya chuo nakuwa nanote kwenye karatasi baadae natulia na kufanya CHOICE, muujiza ulionitokea jana usiku, wakati nikiendelea kupitiapitia chuo ghafla mtandao ukakata, nilipojarifu kuanza upya nikakuta tayari dogo kajaziwa 3 CHOICES kati ya vile vyuo nilivyokuwa napitia pitia, kiukweli sikusave CHOICES na vyuo alivyojaziwa si mimi wala yeye hakuna anaevitaka, kibaya zaidi course aliyojaziwa kama first choise haitaki kabisa. Nikapata wazo la kuchange choices hicho kipengele hakipo, kipengele cha kufuta choices nacho hakipo, nimejaribu kupiga cm za NACTE zilizoandikwa chini zote hazipatikani, nisaidieni waungwana maana mimi na mdogo wangu wote tumechanganyikiwa, nitawezaje kufuta hizo choices na kuadd tunazozitaka sisi?

Hili haliwezekani likatokea lenyewe. Kuna mawili hapo umefanya mwenyewe then ukatengeneza storry ya kutupa. Au hiyo account umeshare na mtu kama unavyosema we una password na mdogo wako anayo pia. So hii mmefanya wenyewe. Hili haliwezitokea hata.
 
Ingia profile then angalia juu kuna home profile nk click profile then itajifungua kisha shuka chini utaona secondary education change category n.k click change category hapo utafaata maelekezo kwa kuchagua first periority mbaka mwisho na utakuwa tayari umedilete vyuo
Ingia profile then angalia juu kuna home profile nk click profile then itajifungua kisha shuka chini utaona secondary education change category n.k click change category hapo utafaata maelekezo kwa kuchagua first periority mbaka mwisho na utakuwa tayari umedilete vyuo
Asante sana, nimefanikiwa
 
piga simu wasipo pokea piga simu wasipo pokea we piga simu Mimi ilinichukua wiki nzima napiga simu yani nime piga weeeeeeeeee yan wiki ikakatika NDE! sasa ikajakupokelewa akapokea Dada mmoja akawa anaongea kama ana njaa ama usingizi niliumia sana na wewe piga tuuuuuuu
Teteteteteeee....piga ikibidi ichape na makofi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom