msaada wa haraka: ku-print conversation

msaada wa haraka: ku-print conversation

CHARLZ MMOJA

Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
5
Reaction score
0
kuna kipindi nilishawahi kusikia kuwa ukimpata mtu anayefanya kazi kwenye mitandao ya simu aliyepo kwenye kitengo ku-operate sim unaweza ukapewa sms zote ambazo mtu anawasiliana na mtu mwingine yan unachotakiwa kufanya ni kumpa huyo namba ya simu ya mtu wa kwanza (mke wako) na ya namba ya sim ya mtu wa pili (mshukiwa) kisha jamaa anaenda kwenye system yao kisha ata-print message zote ambazo hawa watu wamewahi kutumiana, yan kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya mwisho. mwenye uwezo ani-inbox namba yake.
 
hiyo kwa sasa haiwezekani,ili uweze kupata hizo details ni lazima muwe mmefunga ndoa na upate kibali cha mahakama.no one is allowed to reveal personal details za mtu,unless kama huyo mtu aliyeko kwenye kampuni hafuati protocols.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom