VENTURECACHER
Member
- Oct 24, 2011
- 36
- 7
Wakuu habari zenu naombaa msadaa kuhusu jambo hili, nimenunuaa simu dukani kwa mfanya biashara tecno cx mpya nimetumiaa mda usiopungua wki mbili na nusu ikaharibika speaker kubwa ya sauti nikairudisha dukani nilipo nunuliaa na wakanielekezaa nipeleke wakala wa tecno hapa morogoro nilipopeleka simu ikakaaa wiki mbili nikarudishiwaa inafanya kazi vizuri, nimetumia baada ya wiki tatizo limerudi pale pale.nashindwa nifanyaje maana nimepotezaa hela nyingi kwenye simu hii.naombeni ushauri wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app