Msaada wa frem ya biashara

Msaada wa frem ya biashara

tifa

Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
53
Reaction score
5
natafuta Frem ya biashara maeneo
yafuatayo.
- tegeta
- Mwenge


Sifa zinazotakiwa, iwe inatazama barabara kuu
za mtaa au kwenye mkusanyiko wa watu wa
kutosha kuvutia biashara.
Mwenye kuwa nayo au kujua fremu hiyo ilipo
anijulishe kupitia realtifa20012@gmail. com

Na kama nitampata dalali ntashukuru sana.
 
Kwa ajili ya biashara gani!! Kuna moja ipo K'ndon shamba.. Mtaa umejaa watu sana kama biashara ya duka utauza sana. Bei elfu 60 kwa mwezi
 
Asante manka nahitaji kwa ajili ya biashara ya duka la nguo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom