Ameambiwa anayo maradhi gani yanayo msumbuwa mpaka anatumia mpira?Habari za jioni wakuu, kama kichwa kinavyosema hapo juu, nina ndugu yangu Ana shida kwenye mapafu, uwezo wake wa kuvuta hewa ni mdogo naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua, kwa sasa anatumia mpira! Asanteni
Alipata TB kama miaka 3 iliyopita, akatibiwa akapona, badae akaenda kucheck wakasema kuna chembe chembe za mchanga kwenye mapafu, miezi miwili sasa ndio akaanza kuumwa wiki iliyopita aka wa anashindwa kuvuta hewa vizuri anakohoa sana, baada ya mpira kikohozi kimekataAmeambiwa anayo maradhi gani yanayo msumbuwa mpaka anatumia mpira?
kwa hiyo dawa waliyo mpa hospitali ni kutumia mpira wa kuvuta hewa? hakuna dawa ingine ya kusafisha huo mchanga kifuani?Alipata TB kama miaka 3 iliyopita, akatibiwa akapona, badae akaenda kucheck wakasema kuna chembe chembe za mchanga kwenye mapafu, miezi miwili sasa ndio akaanza kuumwa wiki iliyopita aka wa anashindwa kuvuta hewa vizuri anakohoa sana, baada ya mpira kikohozi kimekata
Haya nitafute kwa wakati wako ili tuweze kumtibia mgonjwa wako aweze kupona pasipo na kutumia mpira wa kuvuta hewa.Hakuna jibu la kueleweka mpaka sasa
Daaa we jamaa kila kitu unatibuHaya nitafute kwa wakati wako ili tuweze kumtibia mgonjwa wako aweze kupona pasipo na kutumia mpira wa kuvuta hewa.

Kwa mujibu wa Kiongozi wetu wa Dini ya Kiislam Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani. Ametufundisha hivi Kila maradhi hayakosi kuwa na dawa yake. Ila Uzee na kifo ndio hauna dawa. Kwa imani hiyo aliyesema kiongozi Wetu wa dini nina imani Kwa Asilimia 1000%1000 ninaweza kutibu maradhi yote na kila maradhi yana dawa yake. Na katika kitabu cha Biblia kimesema hivi jinsi ya kujitibu sisi Binadamu Mungu anasema katika Biblia:::Daaa we jamaa kila kitu unatibu![]()
Hongera kwa kutibu ukimwi, hepatitis B, ovarian cancer, Covid-19, na Pulimonary edemaKwa mujibu wa Kiongozi wetu wa Dini ya Kiislam Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani. Ametufundisha hivi Kila maradhi hayakosi kuwa na dawa yake. Ila Uzee na kifo ndio hauna dawa. Kwa imani hiyo aliyesema kiongozi Wetu wa dini nina imani Kwa Asilimia 1000%1000 ninaweza kutibu maradhi yote na kila maradhi yana dawa yake. Na katika kitabu cha Biblia kimesema hivi jinsi ya kujitibu sisi Binadamu Mungu anasema katika Biblia:::
Biblia EZEKIEL 47:12
Kando ya ukingo wa mto, upande huu na ule, kutakua na kila aina ya miti inayotumika kwa chakula;
majani hayatanyauka, na matunda yake hayatakoma. Yatazaa matunda kila mwezi,
kwa sababu maji yao hutiririka kutoka patakatifu. Matunda yao yatakuwa chakula, na majani yatakuwa dawa.
Sasa kwanini nisijuwe dawa za kutibu kila maradhi? Wakati Mungu ameshatufundisha kutibu kw akila maradhi kwakutumia majani na mizizi? Kazi kwako Mkuu.
Dr nahis maumivu kwenye ubavu wa kushoto hasa wakat wa barid na nikiwa nafanya kazi nzito nitmie dawa ganiKwa mujibu wa Kiongozi wetu wa Dini ya Kiislam Mtume Muhammad Rehema za Mungu ziwe juu yake pamoja na amani. Ametufundisha hivi Kila maradhi hayakosi kuwa na dawa yake. Ila Uzee na kifo ndio hauna dawa. Kwa imani hiyo aliyesema kiongozi Wetu wa dini nina imani Kwa Asilimia 1000%1000 ninaweza kutibu maradhi yote na kila maradhi yana dawa yake. Na katika kitabu cha Biblia kimesema hivi jinsi ya kujitibu sisi Binadamu Mungu anasema katika Biblia:::
Biblia EZEKIEL 47:12
Kando ya ukingo wa mto, upande huu na ule, kutakua na kila aina ya miti inayotumika kwa chakula;
majani hayatanyauka, na matunda yake hayatakoma. Yatazaa matunda kila mwezi,
kwa sababu maji yao hutiririka kutoka patakatifu. Matunda yao yatakuwa chakula, na majani yatakuwa dawa.
Sasa kwanini nisijuwe dawa za kutibu kila maradhi? Wakati Mungu ameshatufundisha kutibu kwa kila maradhi kwa kutumia majani na mizizi? Kazi kwako Mkuu.