Msaada wa chuo cha nursing chimala

Msaada wa chuo cha nursing chimala

tiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
441
Reaction score
259
Habari wadau naomba kuuliza anaejua chuo cha nursing chimala kama kinesajiliwa ama lah! AMA Naweza nikatumia njia gani kujua chuo kimesajiliwa ama lahmsaada wa haraka jamn
 
Mdogowangu kapangiwa huko jman n kesho natakiwa kuondoka tabora asa wengine nimesikia wanasema hakijasajiliwa nsaidien jaman
 
Habari wadau naomba kuuliza anaejua chuo cha nursing chimala kama kinesajiliwa ama lah! AMA Naweza nikatumia njia gani kujua chuo kimesajiliwa ama lahmsaada wa haraka jamn
kimesajiliwa kuna dem wangu anasoma hapo
 
Habari wadau naomba kuuliza anaejua chuo cha nursing chimala kama kinesajiliwa ama lah! AMA Naweza nikatumia njia gani kujua chuo kimesajiliwa ama lahmsaada wa haraka jamn
Ingia www.nacte. go. tz utaona sehemu wameandika registered institutions
 
Yaa nacte kuna orodha ya vyuo vilivyosajiliwa na visivyo sajiliwa ingina ili utazamee kaka
 
Usijaribu kudanganywa chimala ni feki feki feki feki na pia kwan wewe umechaguliwa kupitia nacte?
 
Back
Top Bottom