sikiliza Tbc FM maana maudhui yanafanana.Jamani naombeni msaada wa channel au masafa ya hii radio kwa hapa arusha . Naona wamebadili hii channel tuliyoizoea.
Au aangalie TBC 1sikiliza Tbc FM maana maudhui yanafanana.
You guys,are you serious?Au aangalie TBC 1
Mkuu hebu kesho asubuhi angalia clouds tv 360 yaani Mpaka wanakera, siku hizi watu tumeacha kuwaangalia kwa mfano Hassan Ngoma utadhani ni katibu mwenezi wa ccm kwenye clouds tvYou guys,are you serious?
Ni 87.9 mhzJamani naombeni msaada wa channel au masafa ya hii radio kwa hapa Arusha. Naona wamebadili hii channel tuliyoizoea.
Ubunifu kwenye vipindi vya tv ni mdogo sana. Labda anajaribu kumpendezesha ambaye huwa anawapigia simu.Mkuu hebu kesho asubuhi angalia clouds tv 360 yaani Mpaka wanakera, siku hizi watu tumeacha kuwaangalia kwa mfano Hassan Ngoma utadhani ni katibu mwenezi wa ccm kwenye clouds tv
Asante . Dah kazi kweli kweliNi -235£/$/¥/£ fm kwa Arusha mkuu.
Asante mkuu japo inashida badoNi 87.9 mhz
Ila masafa ya 87.9 mhz ndio masafa ya Cloud fm kwa Moshi na Arusha.Moshi inasikika vizuri kwa masafa hayoAsante mkuu japo inashida bado