Msaada wa booking ya Ndege

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,244
Habari zenu wadau,
Mimi binafsi naikubali kwamba mimi ni Mshamba, Naombeni mnisaidie namna ya kufanya Booking ya Ndege.

KIA (kilimanjaro Int Airport) to Johannesburg (SA)
Kila nikajaribu kufungua Website za denge haziniletei ninacho kihitaji
Lakini pia naombeni anae elewa Cheap flights company anijulishe

Nb:Naomba unapo nisaidia/changia matumizi ya Lugha ya kiugwana itumike. Asanteni
 
Wewe Shibekijijini si ulisema umeenda south kwa bus kumbe ulikuwa hujasafiri? Ngoja waje wakusaidie akina Ng'wanapagi!
 

Google cheap flights from Kilimanjaro to OR airport utapata nyingi tu au the easiest ni kutoka Nairobi to South Africa
 


Flight nafuu ni bora ukaanzia Dar au Nairobi, maana za kuanzia KIA ina maana lazima uende either DAR au NRB. KQ kwa sasa ndio nafuu zaidi. Lakini pia kuna fastjet kuanzia Dar Kwenda Jburg. Just google Kenya airways .. the itakupa mahali pa kuchagua sayafari kwa maana ya siku na pia itakupa option kadhaa kuchagua.
 
Mkuu tumia ungo mbwembwe za nini na kijipa steless
 
Rwanda airways ndio wapo cheap kwa sasa kutokea Dar to Johannesburg inapitia Kigali,Lusaka ndio Jozi return ticket ambayo uta book wiki mbili mbele ni 300 Usd nenda hapo office zao Arusha wapo nyuma ya soko kuu ntaweka namba zao baadae kupanda ndege za kwenda Nje ya Nchi KIA ni ghari sana au kushuka ndio maana nenda na bus Dar siku moja kabla inayofatia unaondoka na hiyo ingawaje hata Ethiopian airlines wapo 300 mpaka 350usd hawa Arusha wapo karibu na Arusha hotel au opposite na Ttcl...
 
hivi huyu jamaa ndiye yule aliyesafiri kwa bus toka dar to jorbug? dogo umepotea njia, hili jukwaa ulilopost si mahala pake
Wewe Shibekijijini si ulisema umeenda south kwa bus kumbe ulikuwa hujasafiri? Ngoja waje wakusaidie akina Ng'wanapagi!
 
tumia skyscanner web page itakupa different flights and bei zake utachagua unayotaka kulingana na bei yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…