Gozaka
Member
- Aug 29, 2012
- 68
- 43
Wakuu habar , Mimi Nina simu niliagizaga nje , sasa hii simu imekufa battery now , na battery zake ni zile non removable ... Ukiangalia gharama ya kuagiza battery ni expensive kuliko kununua simu mpya . Nimezunguk kariakoo sana nmekosa battery yake . Kuna mtu akanshauri nkachonge battery , asa hapo ndo uwelewa ukaniishia , hiv inawezekan izi non removable battery zikachongwa ? Na battery haitokua na madhara kwa simu ,? Then kama inawezekan ntawapata wapi awa wachongaji ? Asanten sana wakuu