Wakuu najua JamiiForums ni sehemu ya kupata taarifa nina kijana wangu amemaliza degree ya elimu DUCE mwaka jana, sasa kinachonishangaza mpaka mwezi huu wa tatu kila nikimuuliza vyeti anasema bado? Je, ni kweli bado? isije kuwa kijana kafeli ananizuga tu? Maana nilimuomba transcript akanipatia...