Shwari kiongozi!
kwa habari ya misaada kwa watoto yatima na Hospitali kwa maoni yangu ni kwamba katika kila ofisi za serikali ya mtaa kuna kuwa na kamati ya afya na maendeleo ya jamii, hapa ndipo mahali sahihi ambapo utapata taarifa za vituo vya watoto yatima pamoja na hospitali pia, kwa hiyo kila ofisi ya serikali ya mtaa unaowiwa kutembelea unaweza ukapata information unazotaka na watakupa utaratibu wa kufanya.