Nilimaliza form six 2007, nikapata Dv II point 10 (HKL) Nina Bachelor ya Education. Natamani kusoma Law . Je Kwa mfumo wa vyuo naweza kudahiliwa mwaka huu kusoma Degree ya Sheria ?
Nilimaliza form six 2007, nikapata Dv II point 10 (HKL) Nina Bachelor ya Education. Natamani kusoma Law . Je Kwa mfumo wa vyuo naweza kudahiliwa mwaka huu kusoma Degree ya Sheria ?