kaka huyo fundi anataka kula hela zako tu.
moja ya sababu inayofanya vifaa vya apple viuzwe bei ghali ni sababu wanatoa support kubwa. karibia kila tatizo limeshajibiwa kwenye website yao.
nenda hapa utapata majibu ya mtu kueka password mara nyingi mpaka kifaa kujiblock.
iOS: Forgotten passcode or device disabled after entering wrong passcode
na kuhusu cable nenda posta nafkiri duka linaitwa idigital ni wakala wa apple atakupa vitu original.
kaka huyo fundi anataka kula hela zako tu.
moja ya sababu inayofanya vifaa vya apple viuzwe bei ghali ni sababu wanatoa support kubwa. karibia kila tatizo limeshajibiwa kwenye website yao.
nenda hapa utapata majibu ya mtu kueka password mara nyingi mpaka kifaa kujiblock.
iOS: Forgotten passcode or device disabled after entering wrong passcode
na kuhusu cable nenda posta nafkiri duka linaitwa idigital ni wakala wa apple atakupa vitu original.
Ipad ilikuwa na password hawajui jinsi ya kutumia zaidi ya gemu tu.mtoto wa jiran kaja kabonyeza bonyeza password imejilock.pia ilikuwa haina chaji yake wanafoji usb wanachajia deki au laptop.fundi kasema kuitengeneza laki 2 na nusu.msaada jaman hapo.
Mkuu wa kazi,salama?kuna Sumsung inanitoa ushamba.ni Galaxy Grand imeandikwa Duos,ajabu naona sehemu moja tu ya kuweka line.nipeni ufahamu wadau.Mashikolo mageni!!