Ishawahi kuonesha? Angalia kuna TV nyingine zina USB port but ni kwa ajili ya kuUpdate filmware ya TV na si kwa ajiki ya Media.Mara nyingi hiyo port imeandikwa SERVICE.
Ishawahi kuonesha? Angalia kuna TV nyingine zina USB port but ni kwa ajili ya kuUpdate filmware ya TV na si kwa ajiki ya Media.Mara nyingi hiyo port imeandikwa SERVICE.
Mkuu hyo tupa tu,halafu foxy akiwaambia ukweli msiwe mnachukia maana kuna vitu vingine hata mshikaji wako unamuuliza sio mpaka upost huku jf,kwa akiri yako utakuja uulize jamani wana jf kuna cd yangu nikiweka kwenye deck flat screen yangu inaanza kuscrach