Msaada unahitajika chief mkwawa na wengine

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
710
Reaction score
1,012
wadau
habarini za jioni wandugu naombeini msaada wenu
Natumia laptop aina ya HP pavilion core i5 2.4GHZ processor intel HD graphic tatitzo la mashine yangu siku hizi inapata sana moto wadau naombeni msaada wadau nifanyeje na tatizo ni nini??

msaada unahitajika
 
ikipata moto ingia task manager angalia process ipi inakula sana resource. kuingia task manager right click taskbar halafu chagua task manager au bonyeza kwa pamoja ctrl+alt+delete.

na feni linazunguka?
 
ikipata moto ingia task manager angalia process ipi inakula sana resource. kuingia task manager right click taskbar halafu chagua task manager au bonyeza kwa pamoja ctrl+alt+delete.

na feni linazunguka?
ndo feni inazunguka vizuri sana tyuu sasa sijui nini tatizo na mfano nikicheza game inazimika kabisa
 
Hata vumbi likizidi kwenye fins na fan husababisha laptop kuchemka sana, ni vema ikafunguliwa na kusafishwa vizuri, na kubadili thermal compound kama alivyoshauri chief hapo juu.
 
Wakuu mmesaidia wengi wenye tatizo hilo mana hata yangu inahilo tatizo
 
yap nenda, cheki hii picha


cpu inatakiwa iwe na kitu kama dawa ya mswaki kwa juu kupunguza joto, kama haina inatakiwa ipakwe.

ila issue ya task manager hapo juu pia ifatilie
shukrani sana chief nitafanya hvoo
 
Hata vumbi likizidi kwenye fins na fan husababisha laptop kuchemka sana, ni vema ikafunguliwa na kusafishwa vizuri, na kubadili thermal compound kama alivyoshauri chief hapo juu.
shukran mkuu kwa ushauri
 
Chief Mkwawa. ..
Mi natumia laptop aina ya Toshiba satellite C660-14 H.

Inatatizo la kupata joto sana na nimepitia katika
"task manager"
nimekuta 56% inatumika katika
"Spooler Subsystem App"
Je inaumuhim gani hiyo kitu katika mashine...?


System
Processor: Intel (R) CPU
P6100 @ 2.00GHz
Installed memory (RAM): 2.00GB (1.86GB usable)
System type: 32-bit Operation System, x64-based processor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…