themathematicalmodelling
Senior Member
- Feb 2, 2018
- 174
- 330
Habari za jioni wadau,
Mbeya university of science and technology wametangaza nafasi za uhamisho kwa public servants na mdogo wangu alireport kazini two weeks ago so naomba msaada au ushauri je anaweza omba hizo transfer request MUST? na je kati halmashauri na must wapi pazuri zaidi kwa ICT officer?
Mbeya university of science and technology wametangaza nafasi za uhamisho kwa public servants na mdogo wangu alireport kazini two weeks ago so naomba msaada au ushauri je anaweza omba hizo transfer request MUST? na je kati halmashauri na must wapi pazuri zaidi kwa ICT officer?