Hiyo mimba asiitoe coz
madhara atakayopata akiitoa ni makubwa kuliko akiiacha...! Mbona hayo
mambo yakubakwa husahaulika tu... Asifikirie saana ilo tukio akipende
hichokiumbe tumboni na Mungu atambariki.
"Mchelea mwana kulia hulia
yeye"...kama angalikuwa ushahidi wa kutosha bado alikuwa na nafasi ya
kupeleka mashtaka sehemu husika.
Adui mkubwa namba moja wa haki ni uoga na ndio maana Mh. Gobless Lema
hupenda kusema, "Hakuna dhambi kubwa kama Uoga".
maji yakiisha mwagika
hayazoleki cha msingi ni kumlea mtoto tu kuua ni dhambi kubwa sana kamwe
hasithubutu..
Huwez jua huyo mtoto
atakuwa potential kias gan kwa jamii.kubakwa kunasahaulika,aombe Mungu
ampe faraja kupitia huynd mtoto.
Mwache aje mwenyewe hapa JF kwa nini unamsemea?Hiyo ni faraja kwangu japo kidogo ila ni kweli hayo usemayo kuwa wapo wenye watoto?walifanyaje hadi wakacope na hii situation?
Nimekusoma ndugu
oh Mr G.Lema!,hivi nae ameshaenda uk hv karibuni?back to my issue,nataka nifahamu hv inawezekana ktk mahakama zetu kukawa na private hearings kwa issue kama hizi za ubakaji ili kumantain status za hawa waathirika wa ubakaji?
ushauri umeenda shule.sasa je unaweza fahamu njia ambazo zitanisaidia kunisahaulisha na hili tatizo?pls help me!Avumilie 2 azae....kiumbe hakina hatia
Una dada yako ambaye ni mjamzito baada ya kubakwa na kutokana na hiyo issue kutoa hiyo mimba anataka ila anahofia kuua kiumbe kisicho na hatia tumboni na kuiacha hiyo mimba anataka ila ana hofu huyo mtoto atakuwa anamkumbusha tukio la kubaka kwake sasa utamshauri nini?
Naomba mawazo yenu ndugu zangu.
Ushauri mzuri pia ila hv udoctor ulisomea wapi vileee cz nimesahau kidogo!!!
Kama sheria inamruhusu na haitokuwa na madhara ya afya yake kwanini asichukue maamuzi.
Pia kidini..hapa kama ni muislamu inaruhusiwa kama haijafika 3 months sijui wenzetu wakiristo inakuwa vipi?
Naomba uheshimu mawazo ya mwenzio hata kama haufikiani nayo.hivi wewe dada ni mzima kweli?
yaani unashauri mtu aue tu kachanga so easly like that.
jamani haya majanga
Naomba uheshimu mawazo ya mwenzio hata kama haufikiani nayo.
Sitaki kuwazia akizaliwa huyo mtoto akaishi na dillema ya kuwa rape child achilia psychological affects watazopitia wote wawili mama na mtoto for me is too much to handle.