K Kichakoro JF-Expert Member Sep 10, 2008 3,065 5,393 Nov 14, 2008 #1 Wajameni Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi. Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani. kichakoro wa Mjini
Wajameni Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi. Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani. kichakoro wa Mjini
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Nov 14, 2008 #2 Kichakoro said: Wajameni Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi. Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani. kichakoro wa Mjini Click to expand... ..Unataka kuendeleza Politiki??? Teh! tehhh! tehhhhh!!!!!
Kichakoro said: Wajameni Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi. Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani. kichakoro wa Mjini Click to expand... ..Unataka kuendeleza Politiki??? Teh! tehhh! tehhhhh!!!!!
K Kichakoro JF-Expert Member Sep 10, 2008 3,065 5,393 Nov 14, 2008 Thread starter #3 Laligeni said: ..Unataka kuendeleza Politiki??? Teh! tehhh! tehhhhh!!!!! Click to expand... haahahahah Ni mambo ya maendeleo na si politic mkuu
Laligeni said: ..Unataka kuendeleza Politiki??? Teh! tehhh! tehhhhh!!!!! Click to expand... haahahahah Ni mambo ya maendeleo na si politic mkuu
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Nov 14, 2008 #4 Kama ni kikazi most Radio stations watakusaidia kumpata kwa haraka huwa wanazo namba za wasanii.