Jamani nina swali, mke wa rafiki yangu kapata simu imepigwa kwenye simu ya mumewe na na text message kutoka kwa family friend.
Katika family friend huyo kuna binti naye alitumia address ya kwenda kwao, kwani walihama hapo walipokuwa wanaishi sinza hapo awali. Mke kaona hivyo bwana ehe kaenda kutangaza kanisani kuwa mume huyo aache kutembea na huyo binti na kamwambia mama mzazi kabisa wa huyo binti, tena kamwambia tu walipokutana kwenye corridor kanisani. Huyo binti mimi jamaa amemsaadia baadhi ya mambo mengi tu ya kimsingi lakini hakuna mapenzi wala uhuni wa aina yoyote ninayo huakika huo asilimia 100.
Sasa yule mama amechukia anasema kwanini mke wa rafiki yangu anaona binti yake Malaya? na kwa nini anamdharau kiasi hicho?
Kwanini asingeenda tu akaongea na huyo binti pasipo kupita kwa mama yake?
Na yule binti anataraji kuolewa karibuni?
Je jamaa yangu huyo afanye nini?
Msaada tutani
Katika family friend huyo kuna binti naye alitumia address ya kwenda kwao, kwani walihama hapo walipokuwa wanaishi sinza hapo awali. Mke kaona hivyo bwana ehe kaenda kutangaza kanisani kuwa mume huyo aache kutembea na huyo binti na kamwambia mama mzazi kabisa wa huyo binti, tena kamwambia tu walipokutana kwenye corridor kanisani. Huyo binti mimi jamaa amemsaadia baadhi ya mambo mengi tu ya kimsingi lakini hakuna mapenzi wala uhuni wa aina yoyote ninayo huakika huo asilimia 100.
Sasa yule mama amechukia anasema kwanini mke wa rafiki yangu anaona binti yake Malaya? na kwa nini anamdharau kiasi hicho?
Kwanini asingeenda tu akaongea na huyo binti pasipo kupita kwa mama yake?
Na yule binti anataraji kuolewa karibuni?
Je jamaa yangu huyo afanye nini?
Msaada tutani