nimeattach file..please extract hilo folder...ukitaka kuirun ingia kwenye TC/BIN/TC(application)...runhiyo TC application kitu kitafanya kazi...hunahaja ya kuinstall..unachotakiwa ni kuweka hilo folder kwenye local disk C: basi.. nimekuwa nikitumia hii kitu kwa window7.sina uhakika kama inafanya kazi vizuri kwenye XP ila natumai itapiga mzigo..wewe jaribu tu incase unatumia XP...
Kama ikikupa shida nitafute.....