wicalumtata
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 329
- 112
habari wanajamvi, naomba msaada nataka kujua kwanin sometime transiformer zinaungua secondary coil, mfano mimi nina tabia ya kuacha redio inaimba usiku kucha, sasa jana usiku ilipofka saa7 usiku ntaona moshi unatoka kwenye redio, nkaamka nkazima socket switch, leo nachek nimekuta ile toroidal transformer imeungua upande 1, ambapo zinatokea zile output wires , asa hadi saiz sijaelewa chanzo ni nin?