kwanza kuna 'kuangali' ,'kutazama', na kuona. Tendo la kwanza ni kuona, ukishaona ndio unaangali! Vile vile unaweza 'kuona' lakini 'usiangalie' kwa mfano unapita ukaona vijana wanacheza mpira lakini usiangalie. Pia unaweza kuangalia lakini usione! Kwa mfano, mpo wa3, mnaangalia mwezi ulioandama wenzako wakaangalia wakaona na wewe ukaangalia lakini hukuona. Kutazama (watch) ni tendo la kutulia na kuangalia ama mpira,hata Tv.