Angalia hiyo laini yako kama inausajiri sahihi, au la angalia hiyo cm yako kama siyo feki check IME NO: endapo kama vyote vipo sahihi basi jaribu kuifrash. Ukishindwa kuifrash nifuate inbox nikuelekeze jinsi ya kuifrashi ww mwenyewe.
Tazama nyuma ya simu IMEI namba iliyopo inafanana na IMEI iliyopo ndani ya simu kwa kupiga *#06# kama hazifanani jiandae kununua Certificate ya IMEI number, kuna mtu nafahamiana nae nitakuunganisha nae, yupo humuhumu Jf.
Tazama nyuma ya simu IMEI namba iliyopo inafanana na IMEI iliyopo ndani ya simu kwa kupiga *#06# kama hazifanani jiandae kununua Certificate ya IMEI number, kuna mtu nafahamiana nae nitakuunganisha nae, yupo humuhumu Jf.
Tazama nyuma ya simu IMEI namba iliyopo inafanana na IMEI iliyopo ndani ya simu kwa kupiga *#06# kama hazifanani jiandae kununua Certificate ya IMEI number, kuna mtu nafahamiana nae nitakuunganisha nae, yupo humuhumu Jf.
simu iyo ipo kwenye blacklist hapo na tatizo ilo lipo kwa simu nyingi na linaendelea cha msingi tafuta cert au qnc file then flash ,,jaribu bahati yako