chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,365
- 27,760
Habari wana Tech,Gadgets.
Nina simu ya Samsung Note 3 lakini tatizo kubwa kwenye simu hii ni network kwani kuna wakati mtandao unapotea kabisa na simu inakuwa haipatikani.
Mara chache mtandao unasoma 3G lakini Pamoja na hilo siwezi kuingia mtandaoni.
Wakuu naombeni msaada wenu.
Nina simu ya Samsung Note 3 lakini tatizo kubwa kwenye simu hii ni network kwani kuna wakati mtandao unapotea kabisa na simu inakuwa haipatikani.
Mara chache mtandao unasoma 3G lakini Pamoja na hilo siwezi kuingia mtandaoni.
Wakuu naombeni msaada wenu.