Black fire JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 755 Reaction score 1,323 Sep 17, 2015 #1 Habari ndugu zangu. Naomba mwenye uelewe wa kunisaidia ktk hili jambo. Je unaweza kuwa umemalza digrii, ukaomba kusoma tena kozi nyingne kwa ngazi ya diploma au certificate kwa vyuo vya serikali ukakubaliwa?
Habari ndugu zangu. Naomba mwenye uelewe wa kunisaidia ktk hili jambo. Je unaweza kuwa umemalza digrii, ukaomba kusoma tena kozi nyingne kwa ngazi ya diploma au certificate kwa vyuo vya serikali ukakubaliwa?