Umeshakata tamaa ya Maisha.
Hiyo haitakiwi, usikate tamaa.
Na usiwaze sana kuajiriwa, wakati unasikilizia mipango yako jaribu pia vishughuli vingine vya kubangaiza.
Kuwa mtu wa kujichanganya sehemu tofautu tofauti ili ukutane na watu tofauti tofauti.
Kuna wakati kujichanganya kwako, ndio na Mipango mingine ya kimaisha unaweza kukutana nayo.
Ondoa mshipa wa aibu, na wala usichague shughuli ya kufanya.
Kupambana kwako na Maisha ndio siri ya mafanikio yako.
Hayo mengine unayoyafikiria yatakuja kukutoa kimaisha inaweza ikawa sababu ya wewe kuja kutapeliwa kidogo chako na hao ambao unaofikiri watakuja kukuunganisha katika njia za kuupata Utajiri