Habar wanajamvi, weekend imeishaje wapendwa? Jaman mwenzenu yamenikuta, kuna jambo limenitokea ucku wa kuamkia leo cjaelewa maana yake, tafadhali sana kwa anaejua maana na madhara ya kilichonitokea plz nisaidie japo ushauri.
Nisiwachoshe sana, nikwamb me jana ucku nimelala lakn ucku nimeota nakula chakula kingi afu sishibi, ila sijajua ni chakula gani nimekula. Nimeamka asubuh mama yangu ananiulza kwanin nimenyoa nywele kwa wembe af hovyo?? Ikabd nichukue kioo kujiangalia, hammadi!! Ile najtizama si nikaona nilivyonyolewa?! Yan m2 kanikwangua kabisa na kiwembe imebki ngozi tu,kanyoa sehemu3 tofauti huku utosini na nyuma kisogon chni jiran na shngo. Sina amani tangu asubuh leo. Tafadhal ndug zangu anaejua maana yake na madhara anisaidie.
pia kuna kaka m1 ni mganga huwa ananitongoza sana tunaish jiran huku nyumbn kwe2. Ananisumbua sana ananitongoza me simtaki na nimeshamwambia mara kadhaa bt hanielewi et anataka kunioa, me simtak na simpendi. Sitak kuchuma dhambi kwa kuhc kuwa huenda kuna mchezo ananifanyia coz sina ushahidi na hlo. Nimechanganykiwa tu sina amani hata kidg jameni. Yani nimeshnda naumwa mawazo cjui kama ntaenda job kesho. Plz guyz help!!!
Nisiwachoshe sana, nikwamb me jana ucku nimelala lakn ucku nimeota nakula chakula kingi afu sishibi, ila sijajua ni chakula gani nimekula. Nimeamka asubuh mama yangu ananiulza kwanin nimenyoa nywele kwa wembe af hovyo?? Ikabd nichukue kioo kujiangalia, hammadi!! Ile najtizama si nikaona nilivyonyolewa?! Yan m2 kanikwangua kabisa na kiwembe imebki ngozi tu,kanyoa sehemu3 tofauti huku utosini na nyuma kisogon chni jiran na shngo. Sina amani tangu asubuh leo. Tafadhal ndug zangu anaejua maana yake na madhara anisaidie.
pia kuna kaka m1 ni mganga huwa ananitongoza sana tunaish jiran huku nyumbn kwe2. Ananisumbua sana ananitongoza me simtaki na nimeshamwambia mara kadhaa bt hanielewi et anataka kunioa, me simtak na simpendi. Sitak kuchuma dhambi kwa kuhc kuwa huenda kuna mchezo ananifanyia coz sina ushahidi na hlo. Nimechanganykiwa tu sina amani hata kidg jameni. Yani nimeshnda naumwa mawazo cjui kama ntaenda job kesho. Plz guyz help!!!