Nawaza hii ndio sababu kuu ya chuchuz kuwasha, nadhani inakupa alert enough is enoughhapana my dada, ila namda sijaenda hukoooo
Wewe nae unaacha wataalam wa hizi mambo huko unaita hao vilaza kimbia chumbani nakuja na dawa..!Habari za Eid wapendwa,
Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?
Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........
Nawengine wotee ila kama wewe ni ke
KAMA SIO MIMBA, BASI WAHI HOSPITAL HATARI SANA UNAWEZA KUTA NI DALILI ZA CANCER YA MATITI NA MAMBO KAMA HAYOHabari za Eid wapendwa,
Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?
Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........
Nawengine wotee ila kama wewe ni ke
Haya ila naona aibu kumtolea doctor ziwaKama sio mimba ni mabadiliko ya homoni mwilini mwako husababisha hiyo kitu pia, au maambukizi(infection) ktk chuchu. Sasa kama infection wahi hospital isijekuletea saratani. Sidhani kama hiyo ni saratani(cancer). Muone dokta haraka. Kama upo Dar nenda hospital ya mnazi mmoja pale. Au nenda hospital yeyote kaonane na gynocologist.