Msaada tafadhali, anataka kuniroga

yuko humu JF?
 
haha ha ha lazima akufanye ma..sha ndo mana mnaambiwa mu baki njia kuu
 
Uliona raha kum gegeda mke wangu eeee..
Imebaki siku moja,mbuzi we
lazima nikugeuze kiazi
 
Hakuna kitu hapo mkuu, endelea na mambo yako, hana lolote huyo, tena nenda katungue boxer yako uivae kabisa
 
Mbn maandishi umeunganisha sana kama housgirl wangu?
 
Naona karogwa,sio ndiye huyu anaepita kavaa chupi kichwani huku anaimba "tv imeniponza ~7"oyooo yamekuwa.
 
Tafuta udongo alokanyaga chota nyayo zake ogea/kunywa mara 3 kwa siku 3 over,siku nyingine usirudie tena
 
kama ukifa msalimie Nyerere, mwambie wanataka serikali 3 huku
 
Uzuri wa demokrasia. Mawili kgegedwa au kurogwa. Chagua !!!.
 
Jirani yangu mwanamke.....mumewe kagonga mlango! wewe unamiliki kiwanda cha uongo. kwanini hujasema mke wa jirani yangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…