Msaada tafadhali, anataka kuniroga

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,553
Reaction score
41,467
Jana jirani yangu mwanamke kaniita ndani kwake nimrekebishie TV yake nikaenda kweli nikamrekebishia nimemaliza nataka kuondoka akanizuia akaachia khanga yake huku ndani hajavaa kitu na baridi hili tukaanza kuburudika wakati tunaburudika mumewe akagonga mlango haraka haraka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango mwanaume akapitiliza moja kwa moja chooni, nikavaa fasta nikakimbia kumbe niliisahau boxer yangu kwa kuwa kwetu uswazi leo naamka naona ile boxer kaianika na tangazo juu "mwenye hii boxer ajitokeze asipojitokeza baada ya siku tatu namroga" hapa sina raha kabisa na baadhi ya marafiki wangu wanaijua kwa kuwa navaaga mlegezo sijui nijitokeze au ningoje kurogwa

nb haka kastori nilikatunga tu
 
Hapo subiri kurogwa tu
 
dah nimeamini njia kuu kwako kwa mwenzako mchepuko Subiri ulogwe tu.
 
Hakika na urogwe tu, tena anakuchelewesha mbona? Huna faida!
 

mimi nakuombea ufe tu iwe fundisho
 
wewe sema baridi ndo lilokupeleka huko na sio TV sasa subiri urogwe na ukijitokeza lazima ale 0712
 
Toa namba ya huyo jamaa watu wamuelekeze kwa waganga wazuri ili uwe mfano
 
Akuronge tu ukome kuto ---watu
 
Aaa jaman eeh njia kuu hata muendesha bodaboda
 
Bora urogwe tena akuendee Tanga kwa msisi ufe haraka coz huna faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…