WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,461
- 1,544
Habari wakuu,
Nilinunua king'amuzi cha Azam wiki iliyopita,TV yangu haina option ya audio out,sasa nikaunganisha waya wa audio kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye subwoofer,cha kushangaza king'amuzi kimekaa siku sita tu afu kikagoma kuwaka..afu kilikua kinapata moto sana kuliko kawaida.
Kuna mtu ameniambia et subwoofer zinatabia za kurudia umeme kwenye sehemu ya sauti inakotoka ndo maana huunguza deki na vitu vingine.Naomba msaada wenu ni kipi naweza kufanya ili kuzuia tatizo hili?
Natanguliza shukrani zangu
Nilinunua king'amuzi cha Azam wiki iliyopita,TV yangu haina option ya audio out,sasa nikaunganisha waya wa audio kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye subwoofer,cha kushangaza king'amuzi kimekaa siku sita tu afu kikagoma kuwaka..afu kilikua kinapata moto sana kuliko kawaida.
Kuna mtu ameniambia et subwoofer zinatabia za kurudia umeme kwenye sehemu ya sauti inakotoka ndo maana huunguza deki na vitu vingine.Naomba msaada wenu ni kipi naweza kufanya ili kuzuia tatizo hili?
Natanguliza shukrani zangu