Msaada:Subwoofer kuunguza king'amuzi

Msaada:Subwoofer kuunguza king'amuzi

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,461
Reaction score
1,544
Habari wakuu,
Nilinunua king'amuzi cha Azam wiki iliyopita,TV yangu haina option ya audio out,sasa nikaunganisha waya wa audio kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye subwoofer,cha kushangaza king'amuzi kimekaa siku sita tu afu kikagoma kuwaka..afu kilikua kinapata moto sana kuliko kawaida.
Kuna mtu ameniambia et subwoofer zinatabia za kurudia umeme kwenye sehemu ya sauti inakotoka ndo maana huunguza deki na vitu vingine.Naomba msaada wenu ni kipi naweza kufanya ili kuzuia tatizo hili?
Natanguliza shukrani zangu
 
hapo hadi uwe na tv yenye sehemu za input. Ndivo nilivoambiwa na wakala wa azam,
 
king'amuzi uwa kinaoutput, so zile out put za kwenye azam peleka kwenye input za tv, yan red and white AV cable
 
Habari wakuu,
Nilinunua king'amuzi cha Azam wiki iliyopita,TV yangu haina option ya audio out,sasa nikaunganisha waya wa audio kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye subwoofer,cha kushangaza king'amuzi kimekaa siku sita tu afu kikagoma kuwaka..afu kilikua kinapata moto sana kuliko kawaida.
Kuna mtu ameniambia et subwoofer zinatabia za kurudia umeme kwenye sehemu ya sauti inakotoka ndo maana huunguza deki na vitu vingine.Naomba msaada wenu ni kipi naweza kufanya ili kuzuia tatizo hili?
Natanguliza shukrani zangu

warudishie AZAM TV kama ni s/w issue watafanya kui flash na Stock rom binary file au kama ni hardware issue wata fanya repair au wakupe kingamuzi kingine
 
warudishie AZAM TV kama ni s/w issue watafanya kui flash na Stock rom binary file au kama ni hardware issue wata fanya repair au wakupe kingamuzi kingine

Nilishakorudisha kaka,na wamenipa kingine....Lakini sasa natafuta suluhisho la hili tatizo.Km kuna kitu niachoweza kutumia ili king'amuzi kisiharibike tena
 
Nilishakorudisha kaka,na wamenipa kingine....Lakini sasa natafuta suluhisho la hili tatizo.Km kuna kitu niachoweza kutumia ili king'amuzi kisiharibike tena

Nafikiri hapo ushauri huyo jamaa juu ndo utakufaa maana wengi wamelalamikia subwoofer kuharibu vifaa vyao zikiwemo hadi simu kuishiwa betri haraka na kujizima zima

Fanya utaratibu ufanye connection ya kingamuzi na TV directly
 
Nafikiri hapo ushauri huyo jamaa juu ndo utakufaa maana wengi wamelalamikia subwoofer kuharibu vifaa vyao zikiwemo hadi simu kuishiwa betri haraka na kujizima zima

Fanya utaratibu ufanye connection ya kingamuzi na TV directly

Asantr mkuu.kwa ushauri wako.Japo napenda sana sauti nzito kutoka kwenye.sabwoofer
 
Kama unataka sauti kubwa nunua home theatre utumie na king'amuzi, mm ninatumia hiyo kwa mwaka sasa sijapata tatizo lolote.
 
Kama unataka sauti kubwa nunua home theatre utumie na king'amuzi, mm ninatumia hiyo kwa mwaka sasa sijapata tatizo lolote.

Home theatre ni shillingi ngapi mkuu?
 
Home theatre ni shillingi ngapi mkuu?

Cheapest home theatre za Sony ni 220,000/-. Ni nzuri though. Ukiwa na Home Theatre hayo matatizo ya kuungua DVD players au ving'amuzi utayasikia kwa jirani.
 
Cheapest home theatre za Sony ni 220,000/-. Ni nzuri though. Ukiwa na Home Theatre hayo matatizo ya kuungua DVD players au ving'amuzi utayasikia kwa jirani.

TV yangu haina audio output....so kwa hiyo Home theatre hazina madhara kwa king'amuzi...maana nitaunganisha king'amuzi na home theatre
 
TV yangu haina audio output....so kwa hiyo Home theatre hazina madhara kwa king'amuzi...maana nitaunganisha king'amuzi na home theatre


Hiyo TV haina HDMA? coz ungenunua cable yake na picture quality ingekuwa poa hadi ungeshangaa, ungeunganisha decoder na tv set kwa HDMA cable, then cable moja (ya picha) toka kwa DVD kwenda kwa TV ili ukiangalia movie isiwe shida. Simple!!
 
Hiyo TV haina HDMA? coz ungenunua cable yake na picture quality ingekuwa poa hadi ungeshangaa, ungeunganisha decoder na tv set kwa HDMA cable, then cable moja (ya picha) toka kwa DVD kwenda kwa TV ili ukiangalia movie isiwe shida. Simple!!

HDMI ipo kaka na ndiyo niliyounganisha.....ila sasa mimi napenda sauti nzito sana....sasa naona.subwoofer ndo inaleta matatizo ila kwa sasa nimeunganisha decoder na Tv moja kwa moja
 
Back
Top Bottom