mbeyaboyfrancy JF-Expert Member Joined Mar 12, 2015 Posts 248 Reaction score 91 Nov 12, 2015 #1 Nina simu yangu Nokia ya tochi model 105 nikiweka laini za mtandao mingine hazitaki kusoma isipokuwa laini ya vodacom peke ndo inakubali, tatizo linaweza kuwa ni nini?
Nina simu yangu Nokia ya tochi model 105 nikiweka laini za mtandao mingine hazitaki kusoma isipokuwa laini ya vodacom peke ndo inakubali, tatizo linaweza kuwa ni nini?
S slow12 Member Joined Jun 29, 2013 Posts 63 Reaction score 5 Nov 12, 2015 #2 Acha kununua cm za promotion
mbeyaboyfrancy JF-Expert Member Joined Mar 12, 2015 Posts 248 Reaction score 91 Nov 12, 2015 Thread starter #3 slow12 said: Acha kununua cm za promotion Click to expand... vipi nikiiflash itakubali
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,229 Reaction score 44,240 Nov 12, 2015 #4 Hicho Ni kitochi cha Voda, umeuziwa mbuzi kwenye gunia na mpaka last time naviona hakuna njia ya kuvitoa lock.
Hicho Ni kitochi cha Voda, umeuziwa mbuzi kwenye gunia na mpaka last time naviona hakuna njia ya kuvitoa lock.
mbeyaboyfrancy JF-Expert Member Joined Mar 12, 2015 Posts 248 Reaction score 91 Nov 12, 2015 Thread starter #5 dhuu kweli hii mbuzi kwenye gunia kaka axante kwa ushauri