Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya wastani lakini ikiwa bei kubwa si mbaya! Nimeangalia kwa wauzaji wengi naona zinanichanganya simu aina moja bei tofauti tofauti!